Panauzwa milion 125, ukubwa wa eneo la kiwanja square 990 meter, pia kiwanja hiki kuna nyumba ya kawaida chumba, sebule, pia hiki kiwanja kina fence pande 2, kipo sehemu nzuri sana na tambalale sana, pia hapa unaweza kujenga nyumba za makazi, apartments, fremu za kibinafsi au biashara, Location tabata kinyerezi dar es salaam tanzania
Kwa maelezo zaidi
Calls/WhatsApp 0614900873
0768682919
0653233641
Service survey charge tsh 30000
Compare listings
Compare